![EFM TANZANIA](/img/default-banner.jpg)
- Видео 2 674
- Просмотров 11 085 397
EFM TANZANIA
Танзания
Добавлен 20 дек 2022
Видео
MANFONGO Akiri KWENDA KWA WAGANGA / Ugomvi na SHOLOMWAMBA
Просмотров 2216 часов назад
MANFONGO Akiri KWENDA KWA WAGANGA / Ugomvi na SHOLOMWAMBA
ZAIDI YA SH. BILIONI 18 KUWEZESHA UPATIKANAJI WA MAJI
Просмотров 679 часов назад
ZAIDI YA SH. BILIONI 18 KUWEZESHA UPATIKANAJI WA MAJI
BAMBO: Diamond ANAZIBA RIDHKI / WANGEONA SANDA / HARMONIZE
Просмотров 789 часов назад
BAMBO: Diamond ANAZIBA RIDHKI / WANGEONA SANDA / HARMONIZE
ANGEL NYIGU Amshukuru ZUCHU / Wanataka KUWA KAMA MIMI / Wanilipe Milioni 3
Просмотров 18716 часов назад
ANGEL NYIGU Amshukuru ZUCHU / Wanataka KUWA KAMA MIMI / Wanilipe Milioni 3
HOTUBA YA WAZIRI MKUU MH. KASSIM MAJALIWA KWENYE TAMASHA LA JOGGING
Просмотров 127День назад
HOTUBA YA WAZIRI MKUU MH. KASSIM MAJALIWA KWENYE TAMASHA LA JOGGING
MR MWANYA: EX WANGU alikuwa Mwizi / NIMECHANGANYIKIWA / Comedians HAWAWEZI
Просмотров 167День назад
MR MWANYA: EX WANGU alikuwa Mwizi / NIMECHANGANYIKIWA / Comedians HAWAWEZI
WAGONJWA 153 WAPANDIKIZWA MAGOTI NA NYONGA BANDIA
Просмотров 4214 дней назад
WAGONJWA 153 WAPANDIKIZWA MAGOTI NA NYONGA BANDIA
vp kuhusu chama anaondoka simba au anabaki
Mwisho wa siku akisimama na Mungu atafanikiwa aachane na mambo ya ushirikina
Mungu pekee atupe hekima kwenye maisha tunayoishi maana mambo ni mengi na ya kutisha otherwise kutoboa ni kipengele.hii simulizi imenitisha mmh
Vero punguza story asee
Jmn da Veronica leo ndio nakuona ulivyo naskiaga tu sauti nakupenda mummy..nakufuatilia sana
Edger aende kanisani tu.
Da Vero matangazo mengi sana alafu muwe mnatoa izo namba za mganga😂😂😂😂
Unataka kwenda EE 😂😂😂😂
Mwisho wa hii simulizi bila YESU hawatoboi Edgar aliokoka Niko hapa nakula popcorn
Vero unaharibu rangi yako ya asili
Jamani 😂
Nenda kwenye MAOMBI ndo Dawa peke yake
Edger anatakiwa aende kanisam tu
Inasisimua Sana
Atar ya maisha jaman
Story inasisimua sana
Punguza matangazo
@@emmanuelkisonga bila matangazo hana kazi hapo, kaz ya redio ni matangazo, ndio yana ingiza pesa
Mc mama tariff ooooyoooooooo... Naitwa Mrs Bozi boziana le madam all the way from Mgeninani
Vipi.kuhusu.usajili.wasimba
Wanachokifanya Simba tusilaumiane msimu ujaooo🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Using our beats without reacging out to us is wild business.
Pole saanaa Edga hivyo ni vifungo vigumu sanaa kutoka
Pole edga
Pole edga
Pole edga
Pole edga
Pole edga
Pole edga
Dada yake Tupo apewe maua yake🎉🎉😅😂❤❤
Wanaume muwe makini mnapotaka kuoa siyo mnaangalia tu uzuri
Mwanaume by nature ni mtu anayependa mamlaka na amri hata akiwa kapuku kama mimi,ila mamlaka huwa yanazidi na kupitiliza pindipo akiwa na hela,yaani ataamua chochote akiamini fedha yake itamlinda...sasa dada zetu skuhizi mnaona mtu akiwa na hela ndo mtaishi maisha mazuri mnasahau kuwa maisha ya ndoa ni zaidi ya magari na starehe sababu itafika muda hata gari utalisahau utatembea kwa mguu,(sisemi msiolewe na wanaume wenye mijihela)ila mtuzingatiage na sisi akina kajamba nani😢
Dogo Chara vp kuhusu kizumbi simba
Wanaume kurogwa huwa tunajitakia tu
Nawapataaa nkiwaa Dodomaa mkiungurumaaa studio
Eti huyu mwanaume sio type yang!! Wee Tupo! yaani umesahau ulichukuliwa ukatolewa tongotongo ukafundishwa kuoga na kuvaa!! Eti leo huyu mwanaume sio type yangu!! Uko tayari kumuua mume wako kwa ajili ya huyo shetani mvurugaji?!! Sasa malipo ni hapa hapa duniani..utavuna unachokipanda kipimo kilichojaa kushindiliwa kusukwasukwa hadi kumwagika.
Pole Sanaa Edger
Mambo mazito haya mmmmh
Hongera Sanaa da vero unakipaj cha kusimulia🎉kwa kweli
Unajua kuuvaaa uhusika Dada Vero
💔💔💔💔💔💔💔
Duuu mapenz ni upofu ediger haelewi 2:28
Mmmmmh Maisha Haya Yanamambo mengi sanaa
Pole sanaaa Mwl Edgar
Maisha ni safar ndefu Snaaa jamn mmmmh Pole Edgar
Jamn daver mileo sijasikiliz nipo naaangalia saiv boy privatus pastory
Ndo ili jmn hebu nielekeze
ip kal san
nakukubali sana na simlizi
King 👑👑
Isha nampenda namkubar
nakupendaga sana jeshiiii
Polee Edgar
Mmh mbona hii story leo fupi hivyo